03 November, 2023
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) wapatiwa tuzo ya udhamini katika mkutano wa BRELA na wadau wake uliofanyika tarehe 27 Oktoba, 2023 Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Udhibiti wa Uchumi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Bw. Nahson Sigalla (Kulia) pamoja na Afi...