UDHIBITI UCHUMI
UDHIBITI UCHUMI
Imewekwa: 02 February, 2023

Idara hii inatoa huduma za msingi zifuatazo:
- Kufuatilia utekelezaji wa sheria na masharti ya uchumi kwenye huduma zinazodhibitiwa,
- Kupitia viwango na tozo na kutumia mamlaka ya Sheria kuwezesha upangaji gharama za huduma kwa maslahi ya wateja na watoa huduma zinazodhibitiwa,
- Kutengeneza njia za kubaini vigezo vya utendaji na viwango vya kwa huduma zinazotolewa,
- Kusimamia mchakato wa malalamiko ;
- Kusimamia tafiti na utafutaji taarifa muhimu kwa ajili ya kudhibiti sekta;
- Kutuatilia mienendo ya kiuchumi inayoweza kuathiri sekta inayodhibitiwa.
12 September, 2023
TASAC yafanya semina ya kutoa elimu kwa kamati ya kudumu ya sheria ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani
16 August, 2023
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TASAC Nahodha. Mussa H. Mandia atakuwepo kwenye Kikao Kazi cha Msajili wa Hazina na Wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Taasis za Umma