Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

UDHIBITI UCHUMI

Imewekwa: 02 February, 2023
UDHIBITI UCHUMI

Idara hii inatoa huduma za msingi zifuatazo:

  1. Kufuatilia utekelezaji wa sheria na masharti ya uchumi kwenye huduma zinazodhibitiwa,
  2. Kupitia viwango na tozo na kutumia mamlaka ya Sheria kuwezesha upangaji gharama za huduma kwa maslahi ya wateja na watoa huduma zinazodhibitiwa,
  3. Kutengeneza njia za kubaini vigezo vya utendaji na viwango vya kwa huduma zinazotolewa,
  4. Kusimamia mchakato wa malalamiko ;
  5. Kusimamia tafiti na utafutaji taarifa muhimu kwa ajili ya kudhibiti sekta;
  6. Kutuatilia mienendo ya kiuchumi inayoweza kuathiri sekta inayodhibitiwa.
Mrejesho, Malalamiko au Wazo