Karibu
Karibu

Ndugu Mteja!
Kwa heshima na taadhima napenda kukukaribisha katika tovuti hii ya Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).
TASAC imepewa mamlaka na wajibu wa kusimamia uendeshaji wa sekta ya usafiri majini, kuratibu na kuwezesha shughuli za upakiaji na uondoshaji wa shehena Bandarini.
Menejimenti, Watumishi na Wadau wa TASAC tunakuhakikishia kukupa huduma bora, zenye ufanisi, za kuridhisha na kwa wakati.
Karibu!
12 September, 2023
TASAC yafanya semina ya kutoa elimu kwa kamati ya kudumu ya sheria ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani
16 August, 2023
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TASAC Nahodha. Mussa H. Mandia atakuwepo kwenye Kikao Kazi cha Msajili wa Hazina na Wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Taasis za Umma