Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

Dira na Dhamira

DIRA:

Kuwa Shirika la Uwakala wa Meli linaloongoza katika usimamizi wa usafiri wa majini litakalosaidia kuibadilisha Tanzania kuingia katika mfumo bora wa usafirishaji Duniani.

DHAMIRA:

Kuhakikisha kuwepo kwa huduma za biashara na usafiri wa majini zilizosalama, zakuaminika, zenye uhakika, na mazingira rafiki katika kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo