Dira na Dhamira
Dira na Dhamira
DIRA:
Kuwa Shirika la Uwakala wa Meli linaloongoza katika usimamizi wa usafiri wa majini litakalosaidia kuibadilisha Tanzania kuingia katika mfumo bora wa usafirishaji Duniani.
DHAMIRA:
Kuhakikisha kuwepo kwa huduma za biashara na usafiri wa majini zilizosalama, zakuaminika, zenye uhakika, na mazingira rafiki katika kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
12 September, 2023
TASAC yafanya semina ya kutoa elimu kwa kamati ya kudumu ya sheria ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani
16 August, 2023
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TASAC Nahodha. Mussa H. Mandia atakuwepo kwenye Kikao Kazi cha Msajili wa Hazina na Wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Taasis za Umma