Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

WATUMISHI TASAC WANOLEWA MASUALA YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI

Imewekwa: 11 March, 2025
WATUMISHI TASAC WANOLEWA MASUALA YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI

Watumishi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC),  leo tarehe 11 Machi, 2025 wamepatiwa mafunzo ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano katika Chuo cha Utalii jijini Dar es Salaam.

Mafunzo hayo ni endelevu kwa watumishi wote wa TASAC na yanalenga kuwajengea uelewa na uwezo katika kuhakikisha wanajilinda na majanga pamoja na magonjwa wawapo katika utendaji kazi wa kila siku.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo