Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

Wadau mbalimbali kutembelea banda la TASAC katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba

Imewekwa: 03 July, 2024
Wadau mbalimbali kutembelea banda la TASAC katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba

Wadau mbalimbali wa Usafiri kwa Njia ya Maji wameendelea kutembelea banda la Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) leo tarehe  02 Julai, 2024 katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa SabaSaba jijini Dar es Salaam ili uweze kupata Elimu kuhusu majukumu ya TASAC na Sekta ya Usafiri Majini kwa Ujumla.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo