Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

Timu ya  kuvuta Kamba Wanaume na Wanawake ya Wizara ya  Uchukuzi zimeibuka kinara katika Mashindano ya Michezo ya Mei Mosi 2024

Imewekwa: 08 May, 2024
Timu ya  kuvuta Kamba Wanaume na Wanawake ya Wizara ya  Uchukuzi zimeibuka kinara katika Mashindano ya Michezo ya Mei Mosi 2024

Timu ya  kuvuta Kamba Wanaume na Wanawake ya Wizara ya  Uchukuzi zimeibuka kinara katika Mashindano ya Michezo ya Mei Mosi yaliyohitimishwa tarehe 29 Aprili, 2024 katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Mashindano hayo yaliyohitimishwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda yalianza tarehe 16 Aprili, 2024.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo