TASAC YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI, ZANZIBAR
TASAC YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI, ZANZIBAR
Imewekwa: 23 August, 2024
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) ni moja ya taasisi zinazoshiriki Maonesho yanayoendelea katika Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea katika Viwanja vya Kizimkazi Dimbani, Zanzibar
Wadau mbalimbali wanandelea kutembelea banda la TASAC katika maonesho hayo yaliyoanza Agosti 18 yatafika tamati Agosti 25, 2024.
.