Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

TASAC YASHIRIKI MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Imewekwa: 17 June, 2025
TASAC YASHIRIKI MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) linashiriki maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyoanza leo tarehe 16 Juni 2025 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.

Kaulimbiu ya maadhimisho hayo kitaifa ni: "Himiza Matumizi ya Mifumo ya Kidigiti ili kuongeza Upatikanaji wa Taarifa na kuchagiza Uwajibikaji".

Maonesho hayo yanatarajiwa kufikia tamati tarehe 23 Juni, 2025.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo