TASAC yashiriki bonanza la michezo kwa wafanyakazi.
TASAC yashiriki bonanza la michezo kwa wafanyakazi.
Imewekwa: 02 February, 2023
Mkurugenzi wa Huduma za Shirika TASAC, Ndg. Moses Mabamba akitoa kombe kwa washindi mbalimbali katik bonanza la Wafanyakazi lililofanyika katika Viwanja vya TTC Chang'ombe, jijini Dar es Salaam tarehe 30 Januari, 2023.
25 January, 2024
TASAC yatoa elimu ya Usafiri kwa njia ya maji katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
25 January, 2024
Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi atembelea banda la TASAC kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Fumba, Zanzibar.