Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

TASAC yashiriki Maonesho ya Kimataifa yaUsalama ya Afya Mahala pa kazi katika viwanja vya General Tire jijini Arusha

Imewekwa: 08 May, 2024
TASAC yashiriki Maonesho ya Kimataifa yaUsalama ya Afya Mahala pa kazi katika viwanja vya General Tire jijini Arusha

Wadau mbalimbali wa Usafiri kwa Njia ya Maji wametembelea banda la Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) katika maonesho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi yanayoratibiwa na  OSHA katika viwanja vya "General tyre", jijini Arusha.

Kauli mbiu ya maonesho hayo ni "Athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi katika Usalama na Afya Kazini, Sajili Eneo la Kazi OSHA katika harakati za kupunguza Athari hizo"

Maonesho yameanza rasmi tarehe 23 Aprili, 2024 na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 28  Aprili, 2024.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo