MKURUGENZI MKUU WA TASAC AFANYA ZIARA KATIKA CHUO CHA MABAHARIA VISIWANI ZANZIBAR
MKURUGENZI MKUU WA TASAC AFANYA ZIARA KATIKA CHUO CHA MABAHARIA VISIWANI ZANZIBAR
Imewekwa: 14 July, 2023

Mkurugenzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC, amefanya ziara katika chuo cha Mabaharia DANOUS visiwani Zanzibar ambapo amepata nafasi ya kutembelea madarasa na vifaa mbalimbali vinavotumika chuoni hapo ikiwemo meli ya mfano inayotumika katika kutoa mafunzo kwa vitendo.
Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi Mkuu TASAC Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge amewahimiza vijana kuchangamkia fursa ya ubaharia kwani imekua na mchango wa maendeleo kwa Taifa hasa katika kukuza uchumi wa buluu.
Aidha, amewaasa wananchi kufika katika vyuo vinavyotoa mafunzo ya ubaharia ambavyo ni chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) na DANOUS visiwani Zanzibar ili kupata mafunzo zaidi na ya kisasa.
Ziara hiyo ya siku m
12 September, 2023
TASAC yafanya semina ya kutoa elimu kwa kamati ya kudumu ya sheria ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani
16 August, 2023
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TASAC Nahodha. Mussa H. Mandia atakuwepo kwenye Kikao Kazi cha Msajili wa Hazina na Wenyeviti na Watendaji Wakuu wa Taasis za Umma