Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania

ISO 9001:2015 Certified

Hafla ya kumpongeza Mkurugenzi wa Udhibiti Usafiri Majini (DMTR) Bw. Deogratias Mukasa kwa kustaafu

Imewekwa: 08 April, 2024
Hafla ya kumpongeza Mkurugenzi wa Udhibiti Usafiri Majini (DMTR) Bw. Deogratias Mukasa kwa kustaafu

Watumishi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) wakiwa kwenye tafrija fupi waliyoiandaa kumpongeza na kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Udhibiti Usafiri Majini (DMTR) Bw. Deogratias Mukasa ambaye amestaafu.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo